Hesabu 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni lazima aungame+ dhambi aliyotenda na alipe malipo kamili kwa ajili ya hatia yake na kuongeza sehemu ya tano ya malipo hayo;+ atampa yule aliyemkosea. Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela) Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+Lakini yeyote anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+ 1 Yohana 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tukiungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na mwadilifu naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+
7 Ni lazima aungame+ dhambi aliyotenda na alipe malipo kamili kwa ajili ya hatia yake na kuongeza sehemu ya tano ya malipo hayo;+ atampa yule aliyemkosea.
5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela)
13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+Lakini yeyote anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+
9 Tukiungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na mwadilifu naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+