Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Daudi akamwambia Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye amekusamehe dhambi uliyotenda.*+ Hutakufa.+

  • Zaburi 86:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+

      Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+

  • Zaburi 103:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Husamehe makosa yako yote+

      Na kuyaponya magonjwa yako yote;+

  • Isaya 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitayafuta kabisa makosa yako kama kwa wingu+

      Na dhambi zako kama kwa wingu zito.

      Rudi kwangu, kwa maana nitakukomboa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki