2 Samweli 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Daudi akamwambia Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye amekusamehe dhambi uliyotenda.*+ Hutakufa.+ Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+ Zaburi 103:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Husamehe makosa yako yote+Na kuyaponya magonjwa yako yote;+ Isaya 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitayafuta kabisa makosa yako kama kwa wingu+Na dhambi zako kama kwa wingu zito. Rudi kwangu, kwa maana nitakukomboa.+
13 Ndipo Daudi akamwambia Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye amekusamehe dhambi uliyotenda.*+ Hutakufa.+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+
3 Husamehe makosa yako yote+Na kuyaponya magonjwa yako yote;+ Isaya 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitayafuta kabisa makosa yako kama kwa wingu+Na dhambi zako kama kwa wingu zito. Rudi kwangu, kwa maana nitakukomboa.+
22 Nitayafuta kabisa makosa yako kama kwa wingu+Na dhambi zako kama kwa wingu zito. Rudi kwangu, kwa maana nitakukomboa.+