Zaburi 51:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ee Mungu, nionyeshe kibali kulingana na upendo wako mshikamanifu.+ Yafute kabisa makosa yangu kulingana na rehema zako nyingi.+ Zaburi 103:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kama mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali sana na sisi.+ Isaya 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama sufu. Isaya 43:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+ Yeremia 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nitawatakasa kutokana na hatia yote ya dhambi walizonitendea,+ nami nitasamehe hatia yote ya dhambi zao na makosa waliyonikosea.+ Matendo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zifutwe,+ ili majira yenye kuburudisha yaje kutoka kwa Yehova mwenyewe,*
51 Ee Mungu, nionyeshe kibali kulingana na upendo wako mshikamanifu.+ Yafute kabisa makosa yangu kulingana na rehema zako nyingi.+
18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama sufu.
25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+
8 Nami nitawatakasa kutokana na hatia yote ya dhambi walizonitendea,+ nami nitasamehe hatia yote ya dhambi zao na makosa waliyonikosea.+
19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zifutwe,+ ili majira yenye kuburudisha yaje kutoka kwa Yehova mwenyewe,*