Ezekieli 33:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Ninapomwambia mtu mwovu: “Hakika utakufa,” naye aiache dhambi yake na kutenda mambo ya haki na ya uadilifu,+ Ezekieli 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hataadhibiwa kwa sababu ya dhambi yoyote aliyotenda.*+ Kwa hakika ataendelea kuishi kwa sababu ya kutenda mambo ya haki na ya uadilifu.’+ 1 Yohana 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru, tuna ushirika sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Mwana wake hutusafisha kutoka katika dhambi yote.+
14 “‘Ninapomwambia mtu mwovu: “Hakika utakufa,” naye aiache dhambi yake na kutenda mambo ya haki na ya uadilifu,+
16 Hataadhibiwa kwa sababu ya dhambi yoyote aliyotenda.*+ Kwa hakika ataendelea kuishi kwa sababu ya kutenda mambo ya haki na ya uadilifu.’+
7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru, tuna ushirika sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Mwana wake hutusafisha kutoka katika dhambi yote.+