Isaya 55:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+ Ezekieli 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Sasa mtu mwovu akiziacha dhambi zote alizofanya na kushika amri zangu na kutenda mambo ya haki na ya uadilifu, kwa hakika ataendelea kuishi. Hatakufa.+ Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+
7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+
21 “‘Sasa mtu mwovu akiziacha dhambi zote alizofanya na kushika amri zangu na kutenda mambo ya haki na ya uadilifu, kwa hakika ataendelea kuishi. Hatakufa.+
8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+