Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Alisema: “Ikiwa mtaisikiliza kwa makini sauti yangu mimi, Yehova Mungu wenu na kufanya yaliyo sawa machoni pangu na kusikiliza kwa makini amri zangu na kushika masharti yangu yote,+ sitawaletea ugonjwa wowote ambao niliwaletea Wamisri,+ kwa sababu mimi, Yehova, ninawaponya.”+

  • Zaburi 41:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova atamtegemeza kwenye kitanda chake cha ugonjwa;+

      Wakati huo wa ugonjwa utakibadili kabisa kitanda chake.

  • Zaburi 147:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Huwaponya waliovunjika moyo;

      Huyafunga majeraha yao.

  • Isaya 33:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na hakuna mkaaji* atakayesema: “Mimi ni mgonjwa.”+

      Watu wanaokaa katika nchi watasamehewa dhambi yao.+

  • Yakobo 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na sala ya imani itamponya huyo mgonjwa,* na Yehova* atamwinua. Pia, ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.

  • Ufunuo 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao,+ na kifo hakitakuwapo tena,+ wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.+ Mambo ya zamani yamepitilia mbali.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki