Yeremia 50:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova,“Hatia ya Israeli itatafutwa,Lakini hakutakuwa na hatia yoyote,Na dhambi za Yuda hazitapatikana,Kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+ Mika 7:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+ 19 Utatuonyesha tena rehema;+ utazishinda* dhambi zetu. Utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.+
20 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova,“Hatia ya Israeli itatafutwa,Lakini hakutakuwa na hatia yoyote,Na dhambi za Yuda hazitapatikana,Kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+
18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+ 19 Utatuonyesha tena rehema;+ utazishinda* dhambi zetu. Utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.+