Mambo ya Walawi 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+ Zaburi 103:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hajatutendea kulingana na dhambi zetu,+Wala hajatupa adhabu tuliyostahili kulingana na makosa yetu.+
10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+
10 Hajatutendea kulingana na dhambi zetu,+Wala hajatupa adhabu tuliyostahili kulingana na makosa yetu.+