Ezra 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baada ya yote yaliyotupata kwa sababu ya matendo yetu maovu na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe, Ee Mungu wetu, hujatutendea kulingana na makosa yetu,+ nawe umeruhusu sisi tulio hapa tuponyoke+— Zaburi 130:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+ Isaya 55:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+
13 Baada ya yote yaliyotupata kwa sababu ya matendo yetu maovu na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe, Ee Mungu wetu, hujatutendea kulingana na makosa yetu,+ nawe umeruhusu sisi tulio hapa tuponyoke+—
7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+