Zaburi 103:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+ Zaburi 103:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hajatutendea kulingana na dhambi zetu,+Wala hajatupa adhabu tuliyostahili kulingana na makosa yetu.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+
8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+
10 Hajatutendea kulingana na dhambi zetu,+Wala hajatupa adhabu tuliyostahili kulingana na makosa yetu.+