Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+

      Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+

  • Zaburi 103:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hajatutendea kulingana na dhambi zetu,+

      Wala hajatupa adhabu tuliyostahili kulingana na makosa yetu.+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+

      Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki