Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Daudi akamwambia Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye amekusamehe dhambi uliyotenda.*+ Hutakufa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Alipokuwa akiteseka, alimsihi* Yehova Mungu wake amwonyeshe kibali, naye akaendelea kujinyenyekeza sana mbele za Mungu wa mababu zake. 13 Aliendelea kusali kwa Mungu, naye akaguswa na sala yake ya kusihi, akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake.+ Ndipo Manase akajua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 32:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Niliponyamaza, mifupa yangu ilidhoofika kwa sababu ya kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.+

  • Zaburi 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;

      Sikufunika kosa langu.+

      Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+

      Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela)

  • Zaburi 51:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Ee Mungu, nionyeshe kibali kulingana na upendo wako mshikamanifu.+

      Yafute kabisa makosa yangu kulingana na rehema zako nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki