Mambo ya Walawi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Ikiwa ana hatia katika jambo lolote kati ya mambo hayo, basi ni lazima aungame+ dhambi aliyotenda. Zaburi 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+ Niponye,*+ kwa maana nimekutendea dhambi.”+
5 “‘Ikiwa ana hatia katika jambo lolote kati ya mambo hayo, basi ni lazima aungame+ dhambi aliyotenda.