Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela) Zaburi 38:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwili wangu wote ni mgonjwa kwa sababu ya hasira yako kali. Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+ Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+Lakini yeyote anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+
5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela)
3 Mwili wangu wote ni mgonjwa kwa sababu ya hasira yako kali. Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+
13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+Lakini yeyote anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+