Zaburi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nionyeshe kibali,* Ee Yehova, kwa maana ninadhoofika. Niponye, Ee Yehova,+ kwa maana mifupa yangu inatetemeka. Zaburi 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+ Niponye,*+ kwa maana nimekutendea dhambi.”+ Zaburi 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Acha nisikie sauti za shangwe na furaha,Ili mifupa uliyoiponda ishangilie.+
2 Nionyeshe kibali,* Ee Yehova, kwa maana ninadhoofika. Niponye, Ee Yehova,+ kwa maana mifupa yangu inatetemeka.