Zaburi 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+ Niponye,*+ kwa maana nimekutendea dhambi.”+ Zaburi 103:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+ 3 Husamehe makosa yako yote+Na kuyaponya magonjwa yako yote;+
2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+ 3 Husamehe makosa yako yote+Na kuyaponya magonjwa yako yote;+