Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nionyeshe kibali,* Ee Yehova, kwa maana ninadhoofika.

      Niponye, Ee Yehova,+ kwa maana mifupa yangu inatetemeka.

  • Zaburi 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mwili wangu wote ni mgonjwa kwa sababu ya hasira yako kali.

      Hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu.+

  • Isaya 57:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yule Aliye Juu na Aliyetukuka Sana,

      Anayeishi* milele+ na ambaye jina lake ni takatifu+ anasema hivi:

      “Ninaishi mahali palipo juu na patakatifu,+

      Lakini ninaishi pia na wale waliopondwa na wenye roho ya unyenyekevu,

      Ili kuihuisha roho ya watu wa hali ya chini

      Na kuuhuisha moyo wa wale wanaopondwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki