Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+ Luka 1:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye Maria akasema: “Nafsi* yangu inamtukuza Yehova,*+ Luka 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 kwa sababu Mwenye nguvu amenitendea mambo makuu, nalo jina lake ni takatifu,+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+