Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 21:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Baada ya hayo Abrahamu akapanda mti wa mwesheli huko Beer-sheba, na huko akaliitia jina la Yehova,+ Mungu wa milele.+

  • Zaburi 90:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kabla milima haijazaliwa

      Au kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+

      Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+

  • Isaya 40:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Je, hujui? Je, hujasikia?

      Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+

      Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+

      Uelewaji wake hauchunguziki.*+

  • 1 Timotheo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki