Mwanzo 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Baada ya hayo Abrahamu akapanda mti wa mwesheli huko Beer-sheba, na huko akaliitia jina la Yehova,+ Mungu wa milele.+ Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla milima haijazaliwaAu kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+ Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+ 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.
33 Baada ya hayo Abrahamu akapanda mti wa mwesheli huko Beer-sheba, na huko akaliitia jina la Yehova,+ Mungu wa milele.+
2 Kabla milima haijazaliwaAu kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+
28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.