Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova yuko karibu na wale waliovunjika moyo;+

      Huwaokoa waliopondeka roho.*+

  • Zaburi 147:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Huwaponya waliovunjika moyo;

      Huyafunga majeraha yao.

  • Isaya 61:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+

      Kwa sababu Yehova alinitia mafuta niwatangazie wapole habari njema.+

      Alinituma kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo,

      Kuwatangazia mateka uhuru

      Na kutangaza kwamba macho ya wafungwa yatafunguliwa kabisa,+

  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,

      Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+

      “Basi, nitamtazama huyu,

      Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki