Yeremia 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+Ninakagua mawazo ya ndani kabisa,*Ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,Kulingana na matunda ya matendo yake.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+
10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+Ninakagua mawazo ya ndani kabisa,*Ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,Kulingana na matunda ya matendo yake.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+