Mambo ya Walawi 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe: “Chemsheni+ nyama hiyo kwenye mlango wa hema la mkutano, na muile hapo mlangoni pamoja na mikate iliyo katika kikapu cha kuwaweka rasmi makuhani, kama nilivyoamriwa kwamba, ‘Haruni na wanawe wataila.’+
31 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe: “Chemsheni+ nyama hiyo kwenye mlango wa hema la mkutano, na muile hapo mlangoni pamoja na mikate iliyo katika kikapu cha kuwaweka rasmi makuhani, kama nilivyoamriwa kwamba, ‘Haruni na wanawe wataila.’+