Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Mungu akamsikiliza Lea na kumjibu, naye akapata mimba na baada ya muda akamzalia Yakobo mwana wa tano. 18 Kisha Lea akasema: “Mungu amenipa mshahara wangu* kwa sababu nimempa mume wangu kijakazi wangu.” Kwa hiyo akampa jina Isakari.*+

  • Mwanzo 46:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wana wa Isakari walikuwa Tola, Puva, Iobu, na Shimroni.+

  • Hesabu 2:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kabila la Isakari litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Isakari ni Nethaneli+ mwana wa Zuari. 6 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 54,400.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki