10 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Rubeni+ litapiga kambi upande wa kusini, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri.
18 Kisha kundi la makabila matatu katika kambi ya Rubeni liliondoka kulingana na vikosi vyake,* na kiongozi wa kundi hilo alikuwa Elisuri+ mwana wa Shedeuri.