4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+5 Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia ninyi: kutoka kabila la Rubeni, Elisuri+ mwana wa Shedeuri;
10 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Rubeni+ litapiga kambi upande wa kusini, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri.