Mwanzo 43:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Alipoinua macho yake na kumwona Benjamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ndiye ndugu yenu mdogo mliyeniambia habari zake?”+ Kisha akamwambia: “Mungu na akupe kibali chake, mwanangu.” Mwanzo 46:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wana wa Benjamini+ walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera,+ Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu,+ na Ardi.+ Hesabu 2:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha kabila la Benjamini; mkuu wa wana wa Benjamini ni Abidani+ mwana wa Gideoni. 23 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 35,400.+
29 Alipoinua macho yake na kumwona Benjamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ndiye ndugu yenu mdogo mliyeniambia habari zake?”+ Kisha akamwambia: “Mungu na akupe kibali chake, mwanangu.”
21 Wana wa Benjamini+ walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera,+ Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu,+ na Ardi.+
22 Kisha kabila la Benjamini; mkuu wa wana wa Benjamini ni Abidani+ mwana wa Gideoni. 23 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 35,400.+