Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 43:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Alipoinua macho yake na kumwona Benjamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ndiye ndugu yenu mdogo mliyeniambia habari zake?”+ Kisha akamwambia: “Mungu na akupe kibali chake, mwanangu.”

  • Mwanzo 46:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wana wa Benjamini+ walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera,+ Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu,+ na Ardi.+

  • Hesabu 2:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kisha kabila la Benjamini; mkuu wa wana wa Benjamini ni Abidani+ mwana wa Gideoni. 23 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 35,400.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki