Hesabu 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kabila la Manase+ litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Manase ni Gamalieli+ mwana wa Pedazuri. Hesabu 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kiongozi wa kikosi cha kabila la wana wa Manase alikuwa Gamalieli+ mwana wa Pedazuri.
20 Kabila la Manase+ litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Manase ni Gamalieli+ mwana wa Pedazuri.