Hesabu 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+ Hesabu 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wana wa Yosefu: kabila la Efraimu,+ Elishama mwana wa Amihudi; kabila la Manase, Gamalieli mwana wa Pedazuri; Hesabu 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kabila la Manase+ litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Manase ni Gamalieli+ mwana wa Pedazuri.
4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+
10 wana wa Yosefu: kabila la Efraimu,+ Elishama mwana wa Amihudi; kabila la Manase, Gamalieli mwana wa Pedazuri;
20 Kabila la Manase+ litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Manase ni Gamalieli+ mwana wa Pedazuri.