Mambo ya Walawi 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Sheria itakuwa moja kwenu, iwe ni mgeni au mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’” Kumbukumbu la Torati 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakusanye watu pamoja,+ wanaume, wanawake, watoto,* na mkaaji mgeni aliye katika majiji* yenu, ili wasikilize na kujifunza kumhusu Yehova Mungu wenu na kumwogopa yeye na kuwa waangalifu kutekeleza maneno yote ya Sheria hii.
12 Wakusanye watu pamoja,+ wanaume, wanawake, watoto,* na mkaaji mgeni aliye katika majiji* yenu, ili wasikilize na kujifunza kumhusu Yehova Mungu wenu na kumwogopa yeye na kuwa waangalifu kutekeleza maneno yote ya Sheria hii.