10 Siku ambayo mlisimama mbele za Yehova Mungu wenu kule Horebu, Yehova aliniambia, ‘Wakusanye watu mbele zangu ili niwafanye wasikie maneno yangu,+ ili wajifunze kuniogopa+ siku zote ambazo watakuwa hai juu ya ardhi na ili wawafundishe wana wao.’+
25 bila kuacha kukutana pamoja,+ kama wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile ikikaribia.+