Methali 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mzoeze mvulana* njia anayopaswa kuifuata;+Hata atakapozeeka hataiacha.+ Waefeso 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea katika nidhamu+ na maagizo ya* Yehova.*+
4 Nanyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea katika nidhamu+ na maagizo ya* Yehova.*+