Mambo ya Walawi 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+ Hesabu 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘Na siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+ Mnapaswa kupiga tarumbeta siku hiyo.+
24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+
29 “‘Na siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+ Mnapaswa kupiga tarumbeta siku hiyo.+