Hesabu 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila mara wingu hilo lilipoinuka kutoka juu ya hema, Waisraeli waliondoka bila kukawia,+ na mahali ambapo wingu hilo lilisimama, hapo ndipo Waisraeli walipopiga kambi.+ Zaburi 78:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Aliwaongoza kwa wingu wakati wa mchanaNa usiku kucha kwa mwangaza wa moto.+
17 Kila mara wingu hilo lilipoinuka kutoka juu ya hema, Waisraeli waliondoka bila kukawia,+ na mahali ambapo wingu hilo lilisimama, hapo ndipo Waisraeli walipopiga kambi.+