Hesabu 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+ Hesabu 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kabila la Isakari, Nethaneli+ mwana wa Zuari; Hesabu 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kabila la Isakari litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Isakari ni Nethaneli+ mwana wa Zuari.
4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+