Hesabu 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+ Hesabu 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 kabila la Benjamini, Abidani+ mwana wa Gidioni; Hesabu 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha kabila la Benjamini; mkuu wa wana wa Benjamini ni Abidani+ mwana wa Gideoni.
4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+