Hesabu 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+ Hesabu 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kabila la Asheri, Pagieli+ mwana wa Okrani; Hesabu 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kabila la Asheri litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Asheri ni Pagieli+ mwana wa Okrani.
4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+