Kutoka 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+ Nehemia 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Uliwaongoza mchana kwa nguzo ya wingu, na usiku kwa nguzo ya moto, ili kuwaangazia njia waliyopaswa kupitia.+ Zaburi 78:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Aliwaongoza kwa wingu wakati wa mchanaNa usiku kucha kwa mwangaza wa moto.+
21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+
12 Uliwaongoza mchana kwa nguzo ya wingu, na usiku kwa nguzo ya moto, ili kuwaangazia njia waliyopaswa kupitia.+