11 Ndipo Musa akamsihi* Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, kwa nini uwaelekezee watu wako hasira yako inayowaka, baada ya kuwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?+
19 Kwa maana niliogopa sana kwa sababu Yehova alikuwa amewakasirikia sana,+ naye alitaka kuwaangamiza. Hata hivyo, Yehova alinisikiliza wakati huo pia.+
16 Kwa hiyo ungameni waziwazi dhambi zenu+ kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe. Dua ya mtu mwadilifu ina nguvu nyingi.*+