Kutoka 18:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Baba mkwe wa Musa akamwambia: “Jambo unalofanya si zuri. 18 Kwa hakika utachoka, wewe na watu hawa walio pamoja nawe, kwa sababu mzigo huu ni mkubwa sana kwako na huwezi kuubeba peke yako. Kumbukumbu la Torati 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Nami niliwaambia ninyi wakati huo, ‘Siwezi kuwabeba peke yangu.+
17 Baba mkwe wa Musa akamwambia: “Jambo unalofanya si zuri. 18 Kwa hakika utachoka, wewe na watu hawa walio pamoja nawe, kwa sababu mzigo huu ni mkubwa sana kwako na huwezi kuubeba peke yako.