Hesabu 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yule aliyeleta matoleo yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni+ mwana wa Aminadabu wa kabila la Yuda. Hesabu 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo kundi la makabila matatu katika kambi ya wana wa Yuda liliondoka kwanza kulingana na vikosi vyake,* na kiongozi wa kundi hilo alikuwa Nashoni+ mwana wa Aminadabu. Ruthu 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Aminadabu+ akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni; Mathayo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ramu akawa baba ya Aminadabu; Aminadabu akawa baba ya Nashoni;+ Nashoni akawa baba ya Salmoni;
14 Kwa hiyo kundi la makabila matatu katika kambi ya wana wa Yuda liliondoka kwanza kulingana na vikosi vyake,* na kiongozi wa kundi hilo alikuwa Nashoni+ mwana wa Aminadabu.