Hesabu 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+ Hesabu 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kabila la Yuda, Nashoni+ mwana wa Aminadabu; Hesabu 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Yuda litapiga kambi upande wa mashariki, upande wa mapambazuko ya jua, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Yuda ni Nashoni+ mwana wa Aminadabu. Ruthu 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Aminadabu+ akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni; Mathayo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ramu akawa baba ya Aminadabu; Aminadabu akawa baba ya Nashoni;+ Nashoni akawa baba ya Salmoni;
4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+
3 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Yuda litapiga kambi upande wa mashariki, upande wa mapambazuko ya jua, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Yuda ni Nashoni+ mwana wa Aminadabu.