Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha Kalebu akajaribu kuwatuliza watu waliosimama mbele ya Musa kwa kuwaambia: “Twendeni mara moja, na bila shaka tutaimiliki, kwa maana kwa hakika tunaweza kuishinda.”+

  • Hesabu 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwamba mtaishi ndani yake,+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+

  • Hesabu 14:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa wanaume walioenda kuipeleleza nchi, ndio watakaoendelea kuishi.”’”+

  • Hesabu 34:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nanyi mtachukua mkuu mmoja kutoka katika kila kabila ili awasaidie kuigawanya nchi mtakayorithi.+ 19 Haya ndiyo majina ya wanaume hao: kutoka kabila la Yuda,+ Kalebu+ mwana wa Yefune;

  • 1 Mambo ya Nyakati 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wana wa Kalebu+ mwana wa Yefune walikuwa Iru, Ela, na Naamu; na mwana* wa Ela alikuwa Kenasi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki