30 Kisha Kalebu akajaribu kuwatuliza watu waliosimama mbele ya Musa kwa kuwaambia: “Twendeni mara moja, na bila shaka tutaimiliki, kwa maana kwa hakika tunaweza kuishinda.”+
18 Nanyi mtachukua mkuu mmoja kutoka katika kila kabila ili awasaidie kuigawanya nchi mtakayorithi.+19 Haya ndiyo majina ya wanaume hao: kutoka kabila la Yuda,+ Kalebu+ mwana wa Yefune;