10 kwa maana tumesikia jinsi Yehova alivyoyakausha maji ya Bahari Nyekundu* mbele yenu mlipotoka Misri+ na mambo mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ waliokuwa ng’ambo ya* Yordani, mliowaangamiza kabisa.
5Mara tu wafalme wote wa Waamori+ waliokuwa upande wa magharibi* wa Yordani na wafalme wote wa Wakanaani+ waliokuwa karibu na bahari waliposikia kwamba Yehova alikausha maji ya Yordani mpaka Waisraeli walipovuka, wakafa moyo*+ na hawakuwa na ujasiri wowote kwa sababu ya Waisraeli.+