30 Kisha Kalebu akajaribu kuwatuliza watu waliosimama mbele ya Musa kwa kuwaambia: “Twendeni mara moja, na bila shaka tutaimiliki, kwa maana kwa hakika tunaweza kuishinda.”+
65 Kwa maana Yehova alikuwa amesema hivi kuwahusu: “Ni lazima wafe nyikani.”+ Kwa hiyo hakuna mwanamume hata mmoja kati yao aliyebaki isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+