Yoshua 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Siku hiyo, Musa aliapa hivi: ‘Nchi ambayo mguu wako umekanyaga itakuwa urithi wako na wa wana wako milele, kwa sababu umemfuata Yehova Mungu wangu kwa moyo wote.’+ Yoshua 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndiyo sababu Hebroni limekuwa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi mpaka leo, kwa sababu alimfuata Yehova Mungu wa Israeli kwa moyo wote.+
9 Siku hiyo, Musa aliapa hivi: ‘Nchi ambayo mguu wako umekanyaga itakuwa urithi wako na wa wana wako milele, kwa sababu umemfuata Yehova Mungu wangu kwa moyo wote.’+
14 Ndiyo sababu Hebroni limekuwa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi mpaka leo, kwa sababu alimfuata Yehova Mungu wa Israeli kwa moyo wote.+