Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, walichukua kila mmoja wao chetezo chake, wakaweka moto ndani yake na kutia uvumba.+ Wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ jambo ambalo hakuwaamuru wafanye. 2 Ndipo moto ukashuka kutoka kwa Yehova, ukawateketeza,+ wakafa mbele za Yehova.+

  • Hesabu 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa watu wakaanza kulalamika kwa uchungu mbele za Yehova. Yehova aliposikia malalamiko yao, alikasirika sana, na moto kutoka kwa Yehova ukaanza kuwateketeza na kuwaangamiza baadhi ya watu waliokuwa kandokando ya kambi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki