Hesabu 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mahali hapo hapakuwa na maji kwa ajili ya Waisraeli,+ basi wakakusanyika dhidi ya Musa na Haruni. Hesabu 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Musa na Haruni wakatoka mbele yao na kwenda kwenye mlango wa hema la mkutano, wakaanguka chini kifudifudi, na utukufu wa Yehova ukaanza kuwatokea.+
6 Basi Musa na Haruni wakatoka mbele yao na kwenda kwenye mlango wa hema la mkutano, wakaanguka chini kifudifudi, na utukufu wa Yehova ukaanza kuwatokea.+