Kutoka 23:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+ 21 Msikilizeni, na mtii sauti yake. Msimwasi, kwa maana hatawasamehe maasi yenu,+ kwa sababu jina langu limo ndani yake. 1 Wakorintho 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu, ili tusitamani mambo mabaya, kama wao walivyotamani.+ 1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji,+ kama baadhi yao walivyonung’unika, wakaangamizwa na mwangamizaji.+
20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+ 21 Msikilizeni, na mtii sauti yake. Msimwasi, kwa maana hatawasamehe maasi yenu,+ kwa sababu jina langu limo ndani yake.