20 Mtatoa mchango wa mazao ya kwanza+ ya mikate ya mviringo iliyookwa kwa unga wenu ambao haujakobolewa. Mtautoa kama mchango unaotoka katika uwanja wa kupuria nafaka.
30 Matunda yote ya kwanza yaliyo bora na kila aina ya mchango mtakaotoa utakuwa wa makuhani.+ Nanyi mnapaswa kumpatia kuhani mavuno ya kwanza ya unga wenu ambao haujakobolewa.+ Hilo litafanya baraka ikae juu ya nyumba zenu.+