Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Unapaswa kuleta katika nyumba yangu mimi, Yehova Mungu wako, mazao bora ya kwanza yaliyokomaa* ya ardhi yako.+

      “Usimchemshe mwanambuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Hesabu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+

  • Hesabu 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mafuta yote bora na divai yote mpya na nafaka, mazao yao ya kwanza,+ ambayo wanampa Yehova, ninakupa wewe.+

  • Hesabu 18:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Unapaswa kuwaambia hivi Walawi: ‘Mtapokea kutoka kwa Waisraeli sehemu ya kumi ambayo nimewapa ninyi kutoka kwao ili iwe urithi wenu,+ nanyi mnapaswa kumtolea Yehova mchango wa sehemu ya kumi kutoka katika sehemu hiyo ya kumi.+ 27 Sehemu hiyo itahesabiwa kuwa mchango wenu, itaonwa kama nafaka kutoka katika uwanja wa kupuria+ au divai yote inayotoka katika shinikizo la divai au mafuta yote yanayotoka katika shinikizo la mafuta.

  • Kumbukumbu la Torati 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mnapaswa kumpa mazao ya kwanza ya nafaka yenu, divai yenu mpya, mafuta yenu, na manyoya ya kwanza yaliyokatwa ya kondoo wenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki