-
Hesabu 18:26, 27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 “Unapaswa kuwaambia hivi Walawi: ‘Mtapokea kutoka kwa Waisraeli sehemu ya kumi ambayo nimewapa ninyi kutoka kwao ili iwe urithi wenu,+ nanyi mnapaswa kumtolea Yehova mchango wa sehemu ya kumi kutoka katika sehemu hiyo ya kumi.+ 27 Sehemu hiyo itahesabiwa kuwa mchango wenu, itaonwa kama nafaka kutoka katika uwanja wa kupuria+ au divai yote inayotoka katika shinikizo la divai au mafuta yote yanayotoka katika shinikizo la mafuta.
-