Hesabu 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ona kwamba nimewapa wana wa Lawi kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao, utumishi wa hema la mkutano. Kumbukumbu la Torati 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jihadharini msimpuuze Mlawi+ yeyote sikuzote mtakazoishi katika nchi yenu.
21 “Ona kwamba nimewapa wana wa Lawi kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao, utumishi wa hema la mkutano.